Jumanne, 1 Oktoba 2013

KWA UNAYE TAKA KUJIUNGA NA UMOJA HUU KIOFISI.

UNAYE HITAJI KUJIUNGA NA UMOJA WA VIJANA WA KIKRISTO TANZANIA, TUNAOMBA UTUMIE EMAIL YAKO KUPITIA BLOG HII,AU WALL NA PAGE YA Umoja Wa Vijana wa kikristo Tanzania, Na Email Yetu jesus4youth@gmail.com. Ili tukutumie fomu ya kujinga na Katiba ya Umoja huu.

Unaweza kutuma kwa Email yako Au facebook Msg au comment chagua njia iliyo sahihi, rahisi na salama kwako.

"Tunakupenda Barikiwa"

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

UHALISIA WA MAISHA YA NDOA. SEHEMU YA KWANZA kabla hatuaja anagalia yaliyo katika ndoa Tutazame Maneno haya ya Daudi, Zaburi 127:1-2 &q...