Kama unahitaji au una weka Order, nakala ya Video iliyochukuliwa siku ya Overnight wasiliana nasi
Umoja wa Vijana wa Kikristo Tanzania
Kitengo cha ICT
Simu namba +255758487173, +255713787954
Mbeya.
LONGO NI KUMTUMIKIA MUNGU ALIYE HAI NA KUUJENGA MWILI WA KRISTO TUKIWA KAMA VIJANA TUNAO JUA YESU NDIYE MSAADA KATIKA KILA JAMBO LINALO TUHUSU KATIKA MAISHA YETU YA KILA SIKU. HIVYO NA TUUNGANE BILA KUJALI DHEHEBU LAKO HASA UKITAMBUA NI KWAAJILI YA UFALME WA MUNGU WETU ALIYE HAI.
Ijumaa, 20 Septemba 2013
PICHA ZA OVERNIGHT ILIYO FANYIKIA CHUO CHA TEKU MBEYA
KARIBU KATIKA BLOG YETU MPYA KABISA. TUTAKUHABARISHA KWA HABARI YA NENO LA MUNGU NA UPDATES MPYA KABISA ZINAZO YANAHUSU KANISA KWA UJUMLA PAMOJA NA MASOMO YA WATUMISHI MBALI MBALI, AMBAYO YATAKUWA YAKIACHILIWA NDANI YA BLOG HII. BARIKIWA SANA NA KARIBU SANA
Mtumishi wa Mungu akiongoza wimbo wakati wa kuabudu
Mtumishi wa Mungu Ndugu CHIDUNDO akifundisha somo la UJASIRIAMALI KWA VIJANA
Tunapenda kuwashukuru Ndugu zetu wote waliojitokeza katika maandalizi haya hasa kwa misaada yao ya Hali na Mali walioko ndani na nje ya mkoa wa Mbeya Mungu awabariki sana.
Of course Shughuli ilikamalika sana na ilifana sana. Tunaisubiri Siku ya Maombi ya Taifa itakayo fanyika 09/ Desemba/ 2013 (Uhuru Day).
Huu ni wakati wa Kusifu hakuna aliyekuwa amekaa. Kwa kwel Mambo yalikuwa ya Moto sana na Tulimwona Mungu kwa namna ya Ajabu na ya kushangaza sana
Ilikuwa HAKUNA KUKAA!!!!! umati wa watu uliokuwa ukicheza na Kumsifu MunguMtumishi wa Mungu Ndugu CHIDUNDO akifundisha somo la UJASIRIAMALI KWA VIJANA
Tunapenda kuwashukuru Ndugu zetu wote waliojitokeza katika maandalizi haya hasa kwa misaada yao ya Hali na Mali walioko ndani na nje ya mkoa wa Mbeya Mungu awabariki sana.
Of course Shughuli ilikamalika sana na ilifana sana. Tunaisubiri Siku ya Maombi ya Taifa itakayo fanyika 09/ Desemba/ 2013 (Uhuru Day).
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
UHALISIA WA MAISHA YA NDOA. SEHEMU YA KWANZA kabla hatuaja anagalia yaliyo katika ndoa Tutazame Maneno haya ya Daudi, Zaburi 127:1-2 &q...
-
TUNAPENDA KUSHIRIKIANA NAWE KATIKA UNDISHI WA KATIBA YA USHIRIKA WA VIJANA WA KIKRISTO TANZANIA. WAPENDWA TUNAOMBA MPITIE RAS...
-
Kama unahitaji au una weka Order, nakala ya Video iliyochukuliwa siku ya Overnight wasiliana nasi Umoja wa Vijana wa Kikristo Tanzania Kit...
-
UNAYE HITAJI KUJIUNGA NA UMOJA WA VIJANA WA KIKRISTO TANZANIA, TUNAOMBA UTUMIE EMAIL YAKO KUPITIA BLOG HII,AU WALL NA PAGE YA Umoja Wa Vij...